Psalms 99:1-3

Mungu Mfalme Mkuu


1 a Bwana anatawala,
mataifa na yatetemeke;
anakalia kiti cha enzi katikati ya makerubi,
dunia na itikisike.

2 b Bwana ni mkuu katika Sayuni;
ametukuzwa juu ya mataifa yote.

3 cWanalisifu jina lako ambalo ni kuu na la kuogopwa:
yeye ni mtakatifu!

Copyright information for SwhKC